OFISI ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, imetengua uteuzi wa Luhaga Mpina kuwa mgombea urais kupitia Chama cha ACT-Wazalendo.
Uamuzi huo umetokana na malalamiko yaliyowasilishwa na Katibu Mwenezi wa chama hicho, Monalisa Ndala, kuhusu uhalali wa Mpina kuwania nafasi hiyo.
Support authors and subscribe to content
This is premium stuff. Subscribe to read the entire article.
Login if you have purchased